Diamond Platnumz Atajwa Mtanzania Pekee Kwenye List ya 100 Most Influential Young Africans

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Diamond ndo mtanzania pekee alietajwa kwenye 100 most influential young Africans 2016 katika list iliotoka Leo katika kipengele cha sports and entertainment.
Kutoka East Africa, Uganda amechomoza Anna kansiime, huku Kenya wakichomoza lupita nyong'o na mtangazaji wa focus of Africa kutoka BBC anaitwa Sophie ikenye


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. hadithi njoo utamm kolea.

    ReplyDelete
  2. Kiba je ni wangapi naona wanasiasa sasa hivi watapinga

    ReplyDelete
  3. Kiba hajushughulishi na vitu visivyokuwa na ulazima kwale.

    ReplyDelete

Top Post Ad