AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Risasi Jumamosi Uwoya, alisema kuwa anamshukuru mama yake kwa kumpa uzuri alionao kwani kila kukicha sura yake haipotezi mvuto kama mastaa wengine.
“Kwa kweli najivunia uzuri wangu na sifa kubwa zinaenda kwa mama yangu kwa kunipa uzuri huu pia kitu kikubwa unapokuwa staa lazima uendane na kazi ambayo unaifanya kama mimi nilivyo maana kuna wakati najifananisha na jini” alisema Uwoya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK