AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akijibu swali wakati akizungumza na wanahabari leo Jijini Dar es Salaam, Katibu wa Itikadi Mawasiliano na Uenezi wa ACT- Wazalendo, Ado Shaibu, amesema kuwa kujiuzulu kwa Mwigamba ni utashi wake na wao kama chama wamekubaliana na uamuzi wake chama kinaheshimu maamuzi yake na si kumshinikiza na kinatambua kwamba Mwigamba bado ni mwanachama wa ACT-Wazalendo.
Akizungumzia tetesi za kuwa ACT-Wazalendo kipo karibu na CCM, Mwigamba amekanusha uvumi huo akisema kuwa chama chao wamekuwa wakali kuikosoa serikali kuliko chama kingine cha siasa.
“Tunaishi katika zama ambazo serikali ya CCM haioni aibu kukandamiza misingi ya haki ya raia na demokrasia. CCM wanaona, upinzani wanaona na kila mwananchi mwenye uelewa anaona.
“Tunaishi katika zama ambazo watu hawaogopi kukandamiza uhuru wa vyama vya siasa na tukiwaachia, wanaweza kulala wakaamuka wamefuta vyama vya siasa. Ukiikosoa serikali kwenye vyombo vya habari, mitandao ya kijamii unakamatwa,” alisema Shaibu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK