AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wolper aliwahi kusema kwamba huwa hapendi kumkumbuka na kumpa nafasi Mwanaume alieachana nae haswa Mwanaume aliempenda kisawasawa ila inaonekana sasa hivi maumivu yameondoka na hana kinyongo na Harmonize.
Saa kadhaa zilizopita alitumia Instagram yake kuusifia huo wimbo kwa kuandika “Haka ka nyimbo kazurii sana na video pia ndio usiseme, bwana Raaaaaj umejua kunyoosha, kama bado hujaangalia video ya haka ka wimbo pita kwenye bio ya @Harmonize_tz #uliemchokozakaja #shulala #NaukinibipuTuNakupigia”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Weeee hebu muache mtoto wa watu. Wanaume kibao wamepita kwako. Mbona umemkazani huyu tu
ReplyDeletemlevi ulie kosa kazi mukiona watt wa watu wametulia haya vya kiwashwa munaanA hakutaki katafute walevi wenzako hee eti hata haya hauna bado hujasifu unekula huu utabaki na ati ati elooo
ReplyDelete