AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
ALIYEKUWA mume na mzazi mwenza wa mwanamuziki wa injili, Flora Mbasha, anayejulikana kwa jina la Emmanuel Mbasha, ametoa ahadi ya kumuanika hadharani kesho mwandani wake wa sasa, baada ya kuchoshwa na maneno maneno ya mashabiki kuhusiana na nani ni mrithi wa Flora.
Mbasha ambaye tangu kuolewa kwa mzazi mwenziye hakuwahi kuweka wazi uhusiano wake na mtu mwingine, amefungukia ishu hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram, ambapo amesema kesho anapasua jipu!
Baada ya Post yake hiyo mashabiki wakateremsha koment zao, huku wakionyesha shauku kubwa ya kuifikia kesho waweze kumjua huyo mpenzi wake wa sasa.
NA ISRI MOHAMED/GPL
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK