Huu Umaarufu Unani 'cost' Unanifanya Nishindwe Kufanya Vitu Vingine Kama Binadam- Wema Sepetu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Huu Umaarufu Unani 'cost' Unanifanya Nishindwe Kufanya Vitu Vingine Kama Binadam- Wema Sepetu
MUIGIZAJI nyota wa filamu Bongo, Wema Sepetu, analia na umaarufu mkubwa alionao kwani umemfanya kushindwa kufanya vitu vingi ambavyo kama binadamu, na yeye alitamani kufanya.

Akiwa hajawahi kupanda daladala kwa miaka 11 sasa, tangu alipovikwa taji la Miss Tan- zania mwaka 2006, Wema al-isema akiwa ndani ya gari lake barabarani, hujisikia raha sana kuona watu wakiwa wamepanda usafiri huo, wakiwa wanazungumza na kucheka, kitu ambacho anakimiss sana, lakini hamna namna anayoweza kufanya.

“Unajua kiukweli kabisa natamani mno kupanda daladala, k w a sababu hata mimi ni binadamu, kuna kipindi natamani kupanda gari kutoka kwangu mpaka Kariakoo au mpaka Mbagala, lakini unafikiria utakapopanda itakuwa ni vurugu na siyo starehe tena, huu umaarufu kwa kweli unani-’cost’ sana wakati mwingine,” alisema Wema.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad