AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika mchezo huo uliopigwa Uwanja wa Ushirika na AFC kuibuka na ushindi wa bao 1-0, lililofungwa na John Milinye dakika 47, kipa huyo aligongana na mchezaji wa AFC Dickson Kalinga katika harakati za kuokoa hatari iliyokuwa inaelekea langoni mwake.
“Baada ya kuona maumivu makali ndipo uongozi wa timu uliponiwahisha Hospitari ya KCMC kwa matibabu zaidi na hatimaye daktari kugundua nimepata tatizo kwenye mfupa mdogo wa mguu wa kulia,” alisema Juma.
Aliongeza kuwa kwa sasa haruhusiwi kufanya lolote na baada ya wiki mbili atatakiwa kwenda kutazamwa tena hospitalini na hapo ndipo atakapojua mustakabali wake wa kukaa nje kwenye soka.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK