Madee Afunguka Kuhusu Kutajwa Tajwa kwa Diamond

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Madee Afunguka  Kuhusu Kutajwa Tajwa kwa Diamond
Kutokea Manzese ambaye anatamba na wimbo wake wa ‘Sema’ aliomshirikisha msanii Nandy, Madee amelezea kile kilichokuwa kinaendelea kwenye mitandao ya kijamii kuhusu picha za mastaa za zamani walizokuwa na watu wanaodaiwa kuwa mapenzini.

Baadhi ya mastaa ambao picha zao zilisambaa kwenye mitandao na kusababisha sintofahamu kwa mashabiki wao…sasa Madee kasema hawezi kufanya kitu kama hicho akisema anaweza kupost picha ya mwanamke aliyemchumbia tayari kwa Kumuoa.

Mabli na hayo, Madee kazungumzia ishu ya staa mwingine Diamond Platnumz akisema ni staa, na vile anavyosemwa na kutajwa mara kwa mara wanamuongezea safari na kadiri siku zinavyosonga mbele ndivyo anazidi kufanya vizuri na kutojali nini kinaendelea kwenye mitandao.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad