Michepuko Kulitenganisha Kundi la Roma, Stamina

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Michepuko Kulitenganisha Kundi la Roma na Stamina
WANAMUZIKI wanaounda kundi linalotikisa Bongo kwa sasa la Rostam, Roma Mkatoliki na Stamina, wamefunguka kuwa, endapo mmoja kati yao akibaini mwenzake amechepuka, basi ndiyo itakuwa mwisho wa uhai wa kundi hilo. Wawili hao kwa sasa wanatamba na wimbo wao wa Huku Ama Kule ambao unafanya vizuri kwenye vituo vya redio na runinga.

Roma amesema: “Yaani sisi kila mtu hapa alipo anamlinda mwenzake kuhakikisha hapigi, hachepuki licha ya kwamba kuna vishawishi vingi ambavyo tunakutana navyo wakati tukisaka ugali wetu wa kila siku.
“Kama ikitokea siku m i m i nimemfuma Stamina au yeye akanifumania nipo na mwanamke mwingine tofauti na mke wangu tukifanya mambo ya kimapenzi, basi hapo ndiyo utakuwa mwisho wa kundi hili.”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad