AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Roma amesema: “Yaani sisi kila mtu hapa alipo anamlinda mwenzake kuhakikisha hapigi, hachepuki licha ya kwamba kuna vishawishi vingi ambavyo tunakutana navyo wakati tukisaka ugali wetu wa kila siku.
“Kama ikitokea siku m i m i nimemfuma Stamina au yeye akanifumania nipo na mwanamke mwingine tofauti na mke wangu tukifanya mambo ya kimapenzi, basi hapo ndiyo utakuwa mwisho wa kundi hili.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK