AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa ya kurudishwa kwa account hiyo imetolewa na mmoja wa mameneja wake Mx Carter ambaye ni mtaalamu wa masuala ya mitandao na mpiga picha maarufu hapa bongo, kupitia ukurasa wake wa twitter.
Kwenye taarifa hiyo Mx Carter ameandika 'Usiyempenda karudi", na kuweka picha ya Aslay.
Leo asubuhi Mx Carter alitoa taarifa kuwa account hiyo imehakiwa, na kuwataka watu kuwa wapole wakati wanahangaikia kuirudisha.
Hivi karibuni Aslay amekuwa msanii ambaye anafanya vizuri zaidi mtaani kwa kutoa kazi kali mara kwa mara, na hivi juzi kaachia video yake mpya ya 'Natamba'.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK