Mwanaume, Fanya Haya Ili Kumroga Mwanamke, Hata Kama Huna Kitu..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Salam Enyi Watanzania wenzangu.

Mungu kanituma niwaeleze haya mambo mazuri kwa ajili ya kudumisha mahusiano yetu, hasa mke na mume au wachumba nk.

Kwanza kabisa, wanawake wana akili sana katika kututawala sisi wanaume na wana uelewa na creativity kubwa sana ya kukusoma vizuri mwanaume kila unachofanya na kila unakokwenda na issues zako zote. Hata kama hakwambii, elewa anajua kila kitu, anakustahi tu.

Kujiamini ni nguzo muhimu sana kwa sisi wanaume kumkalisha mwanamke chini, awe billionea, awe professor, awe na cheo nk kwako si kitu kama mwanaume unayejiamini.

Asijue kitu fulani hujui, asijue kitu fulani huna, asijue kama umeshindwa mahali. Wanawake hutumia "failures" za mwanaume kuwa "opportunities" kwao. Atafanya ya ajabu kwakuwa anajua huwezi kitu fulani, huna kitu fulani, huna uwezo fulani.

Hata kama ikitokea ndani hakuna kitu, mwambie tu 'kuna mtu nimemwelekeza ataleta hapa nyumbani'. Hata kama huna hela mwambie tu 'kuna jamaa anatuma sasaivi kwenye mpesa'.

Hata kama huyo mtu asipoleta, huyo mtu asipotuma kwenye simu, we kauka tu...endelea hivyohivyo kubadili visentensi ili aridhike, huku wewe unaplan/unastruggle kinyakimya kuhakikisha chochote kuhakikisha mambo yanakaa vyema.

Usirogwe ukamwambia mwanamke "siwezi, sijui, sina, nitaangalia, ngoja kwanza, ". Otherwise atafanya anachoweza kuhakikisha anapata kila kitu na hata kukulisha wewe.

Kujiamini, kujiamini, kujiamini ndo dawa ya 'Eva' huku duniani.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad