Nandy: Sina Kinyongo na Ray C

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nandy: Sina Kinyongo na Ray C
Msanii wa bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ amefunguka kuwa hawezi kumchukia msanii Rehema Chalamila ‘Ray C’ kwa sababu ya kutofautiana kwao.

Nandy aliiambia Full Shangwe kuwa, pamoja na Ray C kumtolea povu kuwa asiwe anaimba nyimbo zake, lakini yeye hana kinyongo naye.

Rehema Chalamila ‘Ray C’.
“Sina kinyongo na dada yangu Ray C kwa kile kilichotokea, alichokiposti ni mtazamo wake, sina bifu, sina uhasama naye ,”alisema.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad