Nawal Anatafuta Kiki Tena Ananitafuta Undani- Nuh Mziwanda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nawal Anatafuta Kiki Tena Ananitafuta Undani- Nuh Mziwanda
KUFUATIA povu alilolitoa aliyewahi kuwa mke wa mwanamuziki Nuh Mziwanda, bidada Nawali kwenye kituo kimoja cha televisheni kwamba baba wa mtoto wake huyo hamuhudumii mtoto wao, Nuh amefunguka kuwa mwanamke huyo anatafuta kiki na si bure.

Akichonga na Uwazi Showbiz, Nuh alisema kuwa mara kwa mara amekuwa akiwasiliana na mwanamke huyo kumjulia hali mwanaye ikiwa ni pamoja na kumhudumia lakini anashangazwa na yeye kuibuka kwenye media na kudai hamhudumii.

“Mambo mengine unaweza kusema hata mtu anatafuta kiki au anakutafuta la undani. Kiukweli sitaki kulizungumzia suala hili sana lakini ukweli ni kwamba siwezi kuacha kumhudumia mwanangu!
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ndio mkomage na kuwa na wanawake viruka njia

    ReplyDelete

Top Post Ad