Nitapambana Vilivyo kwa Ajili ya Kutetea Haki ya Mwanamke na Watoto - Jokate

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nitapambana Vilivyo kwa Ajili ya Kutetea Haki ya Mwanamke na Watoto - Jokate
MWANAMITINDO maarufu Bongo, Jokate Mwegelo amesema kuwa, atahakikisha anapambana vilivyo kwa ajili ya kutetea haki ya mwanamke pamoja na watoto kwa ujumla.

Akizungumza na Star Mix, Jokate alisema, kuna umuhimu sana kila mmoja mwenye nafasi kwenye jamii atambue nafasi ya mwanamke kwani wao ndio wenye nafasi kubwa kwenye jamii na pia kukazania kuwapa elimu.

“Unajua watu wengi wanajisahau kuhusu mwanamke na watoto lakini kwa upande wangu naona thamani kubwa sana ya mwanamke hasa akipatiwa elimu bora na kupewa nafasi nyingi za kuongoza huku watoto wakipewa haki inayostahili,” alisema Jokate.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad