Pakistan Paokoa Familia Iliyotekwa na Taliban Miaka 5 Iliyopita

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Pakistan Paokoa Familia Iliyotekwa na Taliban Miaka 5 Iliyopita
Jeshi la Pakistan limeiokoa familia moja ya watu watano raia wa Marekani ambao walikuwa wakishikwa mateka na wanamgambo wa Taliban wa Afghanistan.
Waliokolewa wakati wa oparesheni katika wilaya moja yenye makabila ya Kurram karibu na mpaka na Afghanistan.

Jeshi la Afghanistan halikuitaja familia hiyo, lakini raia wa Canada Joshua Boyle na mkewe raia wa Marekani Caitlan Coleman, walitekwa walipokuwa wakitembea nchini Afghanistan mwaka 2012.
Pakistani soldiers (file photo)Haki miliki ya pichaEPA

Video ya mwisho ya wawili hao ilitolewa Disemba mwaka uliopita wakati walionekana wakiomba nchi zao kuwaokoa.
Walionekana wakiwashika watoto wao wadogo wa kiume waliozaliwa wakiwa wameshikwa mateka.
Abu Bakr al-Baghdadi yuko wapi?
Haikujulikana ni lini video hiyo ilirekodiwa, lakini ilitolewa baada ya uvumi kusambaa mjini Kabul kuwa serikali ilikuwa ikipanga kumnyonga Anas Haqqani, mtoto wa mwanzilishi wa mtandoa wa Haqqani ambaye amekuwa akizuiliwa tangu mwaka 2014.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad