Profesa Jay Afunguka Kinachomsababisha Kuwa Kimya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Profesa Jay Afunguka Kinachomsababisha Kuwa Kimya
BAADA ya mashabiki wake wengi kutaka kujua kwa nini yupo kimya kwenye anga la muziki, mkongwe Bongo Fleva ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Morogoro, Joseph Haule ‘Profesa Jay’ ameibuka na kuwaeleza kinachomsibu.
Akipiga stori na baada ya kuulizwa sababu za kuwa kimya, Profesa Jay alisema bado anaweka mambo ya kifamilia sawa na yakishakuwa vizuri ndipo atakaporejea tena.
“Kuna mambo mengi ya kifamilia yananiweka bize, najitahidi kuyaweka sawa yakikamilika mashabiki wangu watarajie muziki mzuri kutoka kwangu. Niwaombe tu wawe na subira kwani mambo mazuri hayataki haraka,” alisema Profesa Jay.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad