AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msigwa, kupitia ukurasa wake wa Twitter amekanusha taarifa zinazodai kuwa leo Oktoba 10 ni siku ya kuzaliwa ya Rais Magufuli, huku akisema kuwa tarehe sahihi ya kuzaliwa ya kiongozi huyo wa nchi ni Oktoba 29.
“Taarifa zinazoenezwa kuwa leo tarehe 10.10 ni siku ya kuzaliwa kwa Rais Magufuli sio kweli. Mhe. Dkt John P.J. Magufuli alizaliwa 29.10.1959.”
Watu wengi waliotoa maoni yao kuhusu kanusho hilo, wamesema kwamba hawajaiona taarifa yenyewe inayosema leo ni siku ya kuzaliwa ya Rais, lakini wengine wakaeleza kwamba, hiki hakikuwa kitu cha msingi cha kukanusha kwani tarehe ya kuzaliwa ya Rais inaweza kupatikana kirahisi mtandaoni.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK