AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa Shamsa ambaye siku chache nyuma alisema kuwa anamuona jini-mkatakamba anainyapianyapia ndoa yake, hatimaye mambo yakamfika shingoni na kuamua kushusha waraka kwenye ukurasa wake wa Instagram, akiwataka wale wote ambao wanadhani atakuja kuachana na mumewe, basi wajue kwamba hiyo ni ndoto sawa na kusubiri embe dodo kwenye mti wa korosho!
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Shamsa acha danganya toto yako hiyo upo na jamaa kimaslahi sana tu na siyo eti unampenda kimapenzi na itokee jamaa mambo yamuendee mrama kama kawa utambwaga na kung'ang'ania pengine penye pesa usituongopee eti"ni sawa na kusubiri embe dodo kwenye mti wa mkorosho"hiyo sentensi yako ipo siku itakuja kukushua wewe mwenyewe uliyeitunga hii dunia ukipata kaa kimyaaaa kwani huyu kesho italeta nini kwako
ReplyDelete