Tunda Afunguka Kuhusu Kuficha Mimba yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tunda Afunguka Kuhusu Kusicha  Mimba yake
Muuza nyago wa Bongo,Tunda Sebastian ametoa sababu ya kudanganya kuwa hakuwa na ujauzito kwamba kuonesha tumbo la mimba ni kuwapa nafasi watu wabaya. Akizungumza na Star Mix, Tunda alisema kuwa, mara nyingi anawakatalia watu kama ni mjamzito kwa sababu anaona siyo vizuri kumtangazia kila mtu kuhusiana na hali hiyo.
“Nimeamua kuwa tofauti kidogo na watu wengine kwani siyo lazima mtu ajue upo kwenye hali hiyo, ujue watu wengine siyo wema, kwenye macho wanakuchekea kumbe moyoni wanaumia,” alisema Tunda.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad