Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta Amfungulia Mashtaka Odinga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta Amfungulia Mashtaka Odinga
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amemfungulia mashtaka ya kudharau Mahakama kiongozi wa Muungano wa Upinani Nchini humo, Nasa, Raila Odinga.

Kwa mujibu wa gazeti la Daily Nation, Rais Kenyatta amefungua mashtaka hayo katika Mahakama ya Juu, ambapo Katibu Mkuu wa chama tawala cha Jubilee, Raphael Tuju, ameushutumu upinzani wa Nasa, kwa kutatiza mafunzo ya maafisa wa uchaguzi kwenye ngome kuu za Odinga magharibi mwa nchi hiyo.
Kesi hiyo ni mfululizo wa hali ya sintofahamu kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa marudio wa Urais Oktoba 26.
Upinzani umekuwa ukishinikiza kufanyika kwa mabadiliko ndani ya Tume ya Uchaguzi na Mipaka, hasa ukiwalenga maafisa wa tume hiyo wanaotuhumiwa kuvuruga uchaguzi uliobatilishwa wa Agosti nane mwaka huu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad