AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Goodluck amesema “Kimsingi shauri halijafutwa na kimsingi sio kwamba Hamisa Mobetto ameshindwa hiyo kesi bali kilichotokea ni maswala ya uchapaji, kuna makosa ya kiuchapaji yalitokea na wenzetu wa upande wa pili wanaomuwakilisha Diamond waliweka pingamizi la kisheria kutokana na yale makosa ya uchapaji”
Unaweza kumsikiliza zaidi Wakili Goodluck kwa kubonyeza play hapa chin:
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mungu mkubwa we are together Hamisa Mobeto even though i dont know you but sipendi kuona mwanamke kuonewa mtoto damu tako na wewe mama naseeb sio vizuri ku side upande mmoja wote ni wajukuu zako isitoshe Hamisa always yuko na nyinyi bega kwa bega bega leo mumegeuka kama vile hamumjui kabisa mama naseeb ujue Mungu yuko
ReplyDeletekiko wapi, mazuzu yanajifanya kumtukana Hamisa kumbe hayajui shiria yoyote. na Dai kaona mambo hayaendi vizuri karudi tena kwa Hamisa kisiri. Bi masumbuko zidi kupiga picha uk. but mahaba kwa Hamisa yako palepale. Mama Sandra jishaue tuu, siku yakikutokea puani pia uandike.
ReplyDelete