AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Sometimes’ ameiambia E-Newz ya EATV kuwa watu hao wawili ndio anawashuku kufanya hivyo kwani wao ndio walikuwa na password za account zote mbili.
“Nilijaribu kutengeneza channel mpya ya YouTube achana na ile mwanzo iliyokuwa na matatizo na watu wa Rockstar4000 walikuwa wanaing’ang’ania. Kwa hiyo baada ya ku-upload video kuna jamaa moja hivi mfanyakazi ya Mx Carter akaniomba password zangu za YouTube kwa maana kuna kitu walikuwa wanataka kunisaidia baada ya hapo tukio likawa linajirudia ni lilelile” amesema Barakah.
“Kwa hiyo inavyooneka hapa hapa kati ya watu wa Mx Carter na Seven wanaofanya huo mchezo moja kwa moja nawalenga wao kwa sababu hamna mtu yeyote alikuwa na access zangu za YouTube za mwanzo mpaka za pili tofauti na wao” amesisitiza.
Pia ameongeza kuwa suala hiyo tayari limeshafunguliwa kesi mahakamani. Barakah aliwahi kuwa chini ya usimamizi wa RockStar4000 na baadae kujitoa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK