AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Sarafina’ ameiambia FNL ya EATV kuwa kolabo hiyo bado haifanyika bado ila muda ukifika itafanyika.
“Hamna bado hatuna kolabo lakini chochote kinaweza kutokea lakini siyo Aslay tu, mbona Enock watu wamuongelei?” amesema.
Aslay na Beka walikuwa pamoja katika kundi la Yamoto Band ambalo kwa sasa wasanii wake wanafanya kazi kama solo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK