CCM Yatoa Salamu za Rambirambi Kufuatia Kifo Mbunge wa Songea Mjini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

CCM Yatoa Salamu za Rambirambi Kufuatia Kifo  Mbunge wa Songea Mjini
Chama Cha Mapinduzi, kimetoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha aliyekwa Mbunge wa Songea Mjini kwa tiketi ya chama hicho Ndg Leonidas Gama kilichotokea usiku wa kuamkia leo.

Uongozi wa CCM chini  Mwenyekiti wa Chama hicho Ndg, John Pombe Magufuli umetoa salamu hizo kupitia kwa Katibu Mwenezi, Ndg Humphrey Polepole imesea kwamba chama kimepokea taarifa za kifo hicho kwa mshtuko mkubwa na huzuni.
Aidha taarifa hiyo imeeleza kwamba kipindi chote cha uongozi wake marehemu Gama,  alikuwa sehemu ya viongozi wa kisiasa ambao waliamini katika uelewa wa pamoja na matarajio, siasa safi na za kimaendeleo, uongozi bora na umuhimu wa kuweka maslahi ya nchi na taifa mbele.
 Mhe. Leonidas Gama amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Peramiho, Ruvuma.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad