AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri Ndalichako ametoa kauli hiyo hii leo wakati wa ziara ya kukagua ujenzi wa Nyumba za walimu na ujenzi wa shule za Sekondari zilizopo kwenye wilaya ya Ilala ambapo tayari Wizara imetoa kiasi cha shilingi 5.6 kwa ajili ya ujenzi wa Nyumba hizo.
Katika ziara hiyo Waziri Ndalichako ametembelea na kukagua shule ya Sekondari Msongola, Nyumba za walimu, shule ya Sekondari Mvuti na shule kongwe ya Sekondari Pugu zote zilizopo katika manispaa ya Ilala, mkoani Dar es salaam
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK