AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Miongoni mwa wanachama walipokolewa ni Profesa Kitila Mkumbo, Samson Mwigamba, Edna Sunga (wote kutoka ACT-Wazalendo) (kutoka ACT-Wazalendo), Lawrence Masha na Patrobas Kitambi (Chadema) na wengineo.
Mwenyekiti wa CCM Taifa, John Pombe Magufuli amewapongeza kwa kujiunga na kila alichosema chama bora na kinachowatetea wanyonge. Alisisitiza pia kwamba hatua yao ya kujiunga na chama hicho isije ikawa majaribio bali wahakikishe uamuzi wao huo uwe wa kudumu na wakitetee chama hicho kwa muda wote wa maisha yao.
Wakati huohuo, baada ya Magufuli kuisomea NEC barua ya kuomba msamaha kutoka kwa aliyekuwa mwanachama wa chama hicho, Sophia Simba, ambaye alifukuzwa uanachama mwaka huu, halmashauri hiyo ilimrudisha kwa kauli moja.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK