AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mh. Lema kupitia ukurasa wake wa twitter amesema kuwa wanaishi maisha magumu na hawana budi kuvumilia maisha hayo.
Mkakati umepangwa,nikamatwe na na Jeshi la Polisi leo,maelekezo yamekwishatolewa .Tunaishi maisha magumu sana,hatuna budi kuvumilia.
Lema ni Mbunge ambaye amezoeleka mara nyingi kutumia ukurasa wake wa twitter kueleza mambo mbalimbali yanayoihusu jamii na yeye pia.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Watakukamata wew ila aliyeko ndani yako ni mkuu kuliko wanavyofikiria hao police
ReplyDelete