AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lema amesema kwmba anafahamu kila hatua na vikao ambavyo Mkuu huyo wa Mkoa na kwamba ana ushahidi wa kutosha wa kila kitu kunachopangwa.
"Mrisho Gambo,unapaswa kujua kwamba huna mamlaka wala uwezo wa kushinda huu uchaguzi kwa nguvu/hila, hakuna kikao umekaa ambacho sina taarifa zake na ushahidi wa kila kitu". Lema
Aidha Lema ameongeza kwa kumkanya kiongozi huyo asijaribu kufanya hivyo.
"Unataka kushinda uchaguzi huu kwa gharama yoyete ile ?sababu polisi wako nyuma yako ? usijaribu" Lema ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter asubuhi ya leo
Kesho kata 43 zinatarajiwa kufanya uchaguzi wa marudio wa kuwapata madiwani.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Godilesi... Hapo Kiboko Yako. Gambo Ni Baba LAO.
ReplyDeleteHufurukuti wala ...
MBaba Gambo spidi ni ile ile..... Endelea na Sisi tuko Pamoja sana.
Hawa Waibaji siasa waache na Unawakaushia wakizidi ni Lupango tu.
Endelea kutujengea Arusha yetu M.Gambo.
Hapa Kazi Tu.