AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Halima Mdee ambaye ni Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA ameyasema hayo alipokuwa akiongea na mwandishi wa East Africa Television, na kueleza kwamba wao kama wanasiasa wanaangalia ni namna gani wanaweza kufikia lengo kwa pamoja, hivyo sio mbaya kama wataungana na ACT Wazalendo kufanikisha mambo ambayo wao pia wanayapigania.
Halima Mdee ameendelea kwa kusema kwamba sasa hivi ana imani na kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ambaye alifukuzwa kwenye chama hicho wakimuita msaliti, na kwamba kiongozi huyo sasa anarudi kwenye mstari ambao unamfaa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK