ICC Yatoa Idhini kwa Mahakama Kuanza Kufanya Uchunguzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Majaji katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, ICC, wametoa idhini kwa Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama hiyo, Fatou Bensouda, kuanza uchunguzi wa tuhuma za uhalifu wa kivita nchini Burundi.

Majaji hao walitoa idhini hiyo Oktoba 25 mwaka huu, ikiwa ni siku mbili kabla ya Burundi kutangaza kujitoa katika Mahakama hiyo Oktoba 27.
Katika uamuzi wao Majaji wamebaini kwamba, kuna sababuz a msingi za kufanyika kwa uchunguzi huo kuhusiana na uhalifu dhidi ya binadamu.
Takriban watu 1,200 wameuwawa katika machafuko nchini Burundi tangu mwaka 2015, ambao taarifa za idhini hiyo zilichelewa kutolewa ili kutoa muda wa kuweka mazingira ya kuwalinda waathirika na mashahidi.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad