AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wawili hao wamefikia hatua hiyo baada ya jana rapa Afande Sele kuandika ujumbe wa kusikitika baada ya kusikia Elizabeth Michael ‘Lulu’ kahukumiwa miaka miwili jela kwa kosa la kumuua aliyekuwa mpenzi wake, Steven Kanumba bila kukusudia.
Katika ujumbe wa Afande alidai yeye hakuhudhuria mazishi ya staa huyo wa filamu kwa madai alimsababishia Lulu matitizo kauli ambayo ilipingwa na Mrisho Mpoto kwa kudai marehemu hasemwi kwa mabaya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
huyu afande sele kaishiwa ndo maana anasema hovyo hovyo!!! mpaka busara zimemuishia!!
ReplyDeleteCha hovyo alichosema ni kipi? unaona sahihi watu wazima kufanya mapenzi na watoto? amka acha ushabiki usio na tija.
Delete