AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapper huyo ambaye pia mtangazaji wa tv, amekiambia kipindi cha The Playlist, Times Fm kuwa kupotea kwa Harmorapa kunatokana na kuwa kiki nyingi kuliko kazi.
“Kuna dogo mmoja alikuwa ana kiki alioneka hata wakati Mhe. Nape anatolewa kwaju katika mambo ya watu wasiojulikana yanaanza kurise akatoka baruti anaitwa nani yule mtoto? (Hamorapa), yeah!!, zilikuwa ni kiki kazi ndogo mcheki sasa yupo wapi” amesema Kalapina.
Amendelea kwa kusema kuwa kiki ni vitu vya uongo uongo na havina maana katika maisha ya kimuziki ya msanii badala yake wasanii wafanye kazi nzuri, waandike mistari ambayo inawashika watu mpaka mtu ajiulize huyo alifikiria nini kuandika hii ngoma
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hamolapa akisha funga ndoa na Wema .
ReplyDeletemambo yatakuwa mchongo.
Dogo ana strategies and the bleni.
tena kiki kwa qema itakuwa kama Domo vile.kwa wema imekiki
na hamolapa yuko njiani. Tumuombee mungu