Kitendo cha Ray C Kunishambulia Mtandaoni Kilimdhalilisha Sana -Nandy

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Kitendo cha Ray C Kumshambulia Mtandaoni Kilimdhalilisha Sana -Nandy
Nandy amesema kitendo cha Ray C kumshambulia mtandaoni kwa kuimba wimbo wake, kilimdhalilisha. Amesema Ray C ni muimbaji aliyekuwa akimuangalia tangu akiwa mdogo na hivyo kumshambulia mtandaoni ni kitu kilichomuumiza.

Wiki kadhaa zilizopita, Ray C alimshambulia Nandy kwa kuimba wimbo alioshirikishwa na Mez B, Kama Vipi kwenye Fiesta. Ameiambia Dizzim Online kuwa ukaribu wa Ray C na THT ambao wanamsimamia Nandy pia ulimfanya ashangazwe na mrejesho wa msanii huyo mkongwe.

Amedai kuwa licha ya kuandika kwenye Instagram kumwelesha Ray C kwanini aliimba wimbo wake na kumweleza anavyomheshimu, alimtumia ujumbe binafsi wa simu lakini hakujibiwa. “Sio kitu kizuri ni kama amenidhalilisha bila kosa,” amesema Nandy.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad