AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wiki kadhaa zilizopita, Ray C alimshambulia Nandy kwa kuimba wimbo alioshirikishwa na Mez B, Kama Vipi kwenye Fiesta. Ameiambia Dizzim Online kuwa ukaribu wa Ray C na THT ambao wanamsimamia Nandy pia ulimfanya ashangazwe na mrejesho wa msanii huyo mkongwe.
Amedai kuwa licha ya kuandika kwenye Instagram kumwelesha Ray C kwanini aliimba wimbo wake na kumweleza anavyomheshimu, alimtumia ujumbe binafsi wa simu lakini hakujibiwa. “Sio kitu kizuri ni kama amenidhalilisha bila kosa,” amesema Nandy.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK