Kocha Mkuu wa AC Milan Atimuliwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kocha Mkuu wa AC Milan Atimuliwa
Klabu ya AC Milan imetangaza kuachana na Kocha wake Mkuu, Vincenzo Montella na nafasi yake kuchukuliwa na Gennaro Gattuso.

Kibarua cha Montella kilizidi kuwa kigumu wakati timu yake ya Milan ilipokubali kutoka sare dhidi ya Torino siku ya mchezo uliyopigwa hapo jana siku ya Jumapili.

Kablu hiyo yenye maskani yake nchini Itali,imetoa taarifa hiyo kupitia mtandao wake wa kijamii wa Twitter.

“Milan inatangaza kuachana na Vincenzo Montella kama Kocha Mkuu . Benchi la ufundi lanaimani na Gennaro Gattuso kuziba nafasi ya Montella.” ujumbe ndivyo ulivyosomeka kupitia mtandao wa Twitter.

Gattuso ambaye ni straika wazamani wa Itali na klabu ya AC Milan anarudi kuchukua nafasi hiyo akitokea timu ya Primavera team.



Aliyekuwa Kocha wake Mkuu wa AC Milan, Vincenzo Montella (kushoto) na Gennaro Gattuso (kulia)

Montella ameanza kuitumikia Milan wakati wa majira ya joto mwaka 2016 baada ya kuziongoza klabu za Roma, Catania, Fiorentina na Sampdoria.

Licha ya kupatiwa wachezaji wengi wapya ndani ya kikosi chake na mmiliki wa klabu hiyo, kocha huyo mwenye umri wa 43, amepoteza michezo sita kati ya 11 aliyocheza katika Serie A, na kuiacha ikiwa na alama 20 huku ikishika nafasi ya saba katika msimamo wa ligi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad