KUTOKA IKULU: Kuhusu Taarifa za Uteuzi wa Katibu Mkuu Ndumbaro Kutenguliwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kumekua na Taarifa zilizosambaa kuanzia saa kadhaa zilizopita kwamba Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Dr. Laurian Ndumbaro.

IKULU imetoa taarifa jioni hii na kusema taarifa hizo sio za kweli vilevile Wananchi wazingatie kupokea taarifa sahihi kutoka kwenye mamlaka na vyombo rasmi vya serikali.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad