Lazaro Nyarandu Atoa Maneno Haya Baada ya Kumtembelea Tundu Lissu kwa Mara ya Pili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Lazaro Nyarandu Atoa Maneno Haya Baada ya Kumtembelea Tundu Lissu kwa Mara ya Pili
Aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini ambaye amejiuzulu nafasi yake hiyo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Lazaro Nyalandu amemtembelea tena Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu jijini Nairobi Kenya ambapo anapatiwa matibabu na kumuombea.

Lazaro Nyalandu alipotangaza kujiuzulu nyazifa zake ndani ya Chama Cha Mapinduzi na kuandika barua ya kujiuzulu Ubunge wake kwa Spika wa Bunge Job Ndugai alifunga safari na kwenda nchini Kenya, ambapo huko alipata nafasi ya kumtembelea Mbunge Tundu Lissu ambaye alishambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana Septemba 7, 2017 akiwa mjini Dodoma.
"Mungu akuangazie nuru za uso wake na kukupa amani kaka yetu mpendwa Tundu Lissu. Akakuponye majeraha na maumivu yako na kukufanya Taifa kubwa. Kwa wote wanakuombea na kukupenda, ikawe heri kwao, na kwako iwe amani, uponyaji na mafanikio. Utukufu ujao uwe Mkuu kuliko ule wa awali" alisema Lazaro Nyalandu
Mbunge Tundu Lissu bado yupo nchini Kenya jijini Nairobi akipatiwa matibabu kufuatia kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake Dodoma.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad