AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lazaro Nyalandu alipotangaza kujiuzulu nyazifa zake ndani ya Chama Cha Mapinduzi na kuandika barua ya kujiuzulu Ubunge wake kwa Spika wa Bunge Job Ndugai alifunga safari na kwenda nchini Kenya, ambapo huko alipata nafasi ya kumtembelea Mbunge Tundu Lissu ambaye alishambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana Septemba 7, 2017 akiwa mjini Dodoma.
"Mungu akuangazie nuru za uso wake na kukupa amani kaka yetu mpendwa Tundu Lissu. Akakuponye majeraha na maumivu yako na kukufanya Taifa kubwa. Kwa wote wanakuombea na kukupenda, ikawe heri kwao, na kwako iwe amani, uponyaji na mafanikio. Utukufu ujao uwe Mkuu kuliko ule wa awali" alisema Lazaro Nyalandu
Mbunge Tundu Lissu bado yupo nchini Kenya jijini Nairobi akipatiwa matibabu kufuatia kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake Dodoma.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
ok
ReplyDelete