"Mastaa Walevi Ndiyo Wanakiona cha Moto na Kulalamika Vyuma Vimekaza ” Amanda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

"Mastaa Walevi Ndiyo Wanakiona cha Moto Maana Vyuma Vimekaza ” Amanda
STAA wa filamu za Kibongo, Amanda Poshi ameibuka na kueleza kuwa kutokana na watu wengi kulia ugumu wa maisha kwamba vyuma vimekaza, wanaokoma na kukiona cha moto zaidi ni wale mastaa walevi.

Akipiga stori na Amani, Amanda alisema wapo mastaa waliokuwa wamezoea kunywa pombe na kulewa kila siku lakini kwa kipindi hiki wanakoma kwa kuwa hawana fedha za kunywa kama zamani hivyo anajipongeza kwa kuwa katika maisha yake yote starehe yake kubwa ni soda tu.

“Sina hata tatizo na mtu maana naenda zangu sehemu nzuri nakaa nakunywa soda huku nikitafakari mipango yangu yaani najiachia kwa raha zangu maana ndiyo starehe yangu kubwa, mastaa waliozoea kulewa ndiyo wanakoma maana vyuma vimekaza kweli,” alisema Amanda bila kuwataj

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad