AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lema amesema hayo baada ya kauli ya waziri huyo kuwakosoa upinzani kutumia tukio la kushambuliwa kwa risasi Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu kama ajenda katika kampeni za uchaguzi wa marudio na kusema kwamba chama hicho kimefilisika.
Lema aliandika hivi " Nafhamu Mh Mwigulu atumii madawa ya kulevya au kilevi, lakini kauli zake kwenye mikutano ya hadhara ya kampeni za udiwani zinaleta wasiwasi nakuona ni vyema nikashauri apimwe mkojo. Anayesema eti kupigwa Lissu risasi hakuna mahusiano na kuomba kura?"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK