Maombi na Sala Zacharuka Nyumbani Kwa Kina Lulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Maombi na Sala Zacharuka Nyumbani Kwa Kina Lulu
Zikiwa zimesalia siku 12 tu kabla ya hukumu yake kusomwa kufuatia kesi yake ya kuua bila kukusudia inayomkabili, taarifa zinasema maombi na sala zimekua zikitikisa nyumbani kwa msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Mtu wa karibu wa msanii huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake, alilidokeza Risasi Mchanganyiko kuwa, baada ya kesi hiyo kufikia katika hatua ya hukumu, hivi sasa kila siku maombi yanafanyika asubuhi, mchana na jioni, kwani kwa hali ilivyo hivi sasa, kila kitu kimo mikononi mwa Mungu.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Allah akufanyie wepedi yaishe hta hivo yaliotokea lulu na Mwenyezi Mungu ndio wanaojua jinsi ilivokuwa sidhani kama lulu aliua bila ya kukusudia labda presure ilikuwa juu akadondoka na kujipiga na floor na time imeshafika hio yotw ilikuwa sababu kwa alitakalo Moĺa ndilo liwalo so muachieni lulu hata mukimfunga kanumba harudì so msameheni tu

    ReplyDelete

Top Post Ad