Mashinji Naye Afunguka Kuhusu Kuhamia CCM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mashinji Naye Afunguka Kuhusu Kuhamia CCM
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)  Dkt. Vicent Mashinji amekanusha habari za kwamba anahamia Chama cha Mapinduzi na kusema kwamba yeye siyo mtu wa kuamini kwenye zidumu fikra za Mwenyekiti bali nguvu ya mamlaka ya umma.

Mashinji amesema kwamba yeye siyo mjamaa bali ni mlengo wa kipepari hivyo amewataka wananchi wawe na amani kuhusu hizo taarifa za yeye kuhamia CCM si za ukweli.
"Napokea simu nyingi eti nahamia CCM, mi si Mjamaa. Mi ni mlengo wa kibepari. Siamini kwenye “zidumu fikra za mwenyekiti” Ninaamini katika “nguvu na mamlaka ya umma”. Naomba ndugu zangu muwe na amani kabisa" Mashinji.
Dkt Mashinji ameongza kwamba "Nitaendelea kutumikia CHADEMA kwa makini na kutimiza ndoto za watanzania".
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad