Masogange Mambo Bado Magumu Mahakamani Kesi Yake Yasogezwa Mbele Hadi 2018

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Masogange Mambo Bado Magumu Mahakamani Kesi Yake Yasogezwa Mbele Hadi 2018
Leo Novemba 16, 2017, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imesogeza mbele kesi ya mrembo wa video nchini Agnes Gerald maarufu kama Masogange.

Mrembo huyo ambaye anatuhumiwa kwa kesi ya utumiaji wa madawa ya kulevya, imeahirishwa kutokana na Mawakili wake kushindwa kumuandaa mapemba kwa ajili ya kujitetea.

Kesi hiyo inatarajiwa kuendelea tena Mahakamani hapo January 17.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad