AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hivi karibu baada ya hukumu hiyo Afande Sele aliibuka na kuandika ujumbe wa kumshtumu Kanumba kwa kitendo cha kutembea na Lulu wakati akiwa bado mdogo, huku akieleza hakushiriki kivyovyote katika msiba wa msanii huyo ingawa alikuwepo Dar kwani hakutaka kuvaa joho la unafki.
Sasa Steve Nyerere katika mahojiano na E-Newz ya EATV amesema muda mwingine wasanii wawe na busara kwa kile wanachokiongea kwani Watanzania wanawaangalia na kuwapima kwa kauli zao.
“Usikurupuke tu, nakumshutumu Marehemu, yaliyopita sisi mbele tungange yajayo. Tunapotaka kufanya kitu jiangalie kwanza, halafu sema mimi ninayeongea jamii nje ninayoingoza naifundisha nini, kuna vitu vingine vinaongelewa hapa ni uchochezi tu, ni uchochezi wa kuua sanaa, mbaya sana” amesema.
Ameongeza kuwa kwa sasa kila mmoja anataka kufukua jambo hilo na wengine wanataka kupata umaarufu kupitia hilo. “Wengine mastaa wa zamani wanataka kujifanya wanalijua kuliongelea hili ili nao wachipukie hapo hapo” amesisitiza.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hakuna cha kupata umaarufu, alichosema SELE hakina dosari, cha msingi ni kukubali ukweli na tuache tabia ya kumsifia marehemu hata kama alikuwa anakosea.
ReplyDeleteumesema kweli mdau!! kama hawataki marehemu alaumiwe pia asisifiwe!!!
Delete100% ni ukweli mtupu aliongea afande sele mtu husifiwa kwa uzuri wake na husemwa kwa ubaya wake ukweli unauuma kanumba alimtumia sana lulu kwa hivo kwa yaliotokea ni time yake imefika sababu ndio lulu na ukwelibajua ni mungu lulu atatoka jela miaka miwili sio mingi ni mapito
ReplyDelete