AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya msanii wa Bongo Flava Dogo Janja kufunga ndoa na Irene Uwoya, Mc Pilipili amesema msanii huyo amefanya uchaguzi mzuri.
Amesema Dogo Janja amefuata moyo wake bila kuangalia watu watasema nini kwani toka zamani alikuwa anampenda Irene.
“Ningemsifu Dogo Janja kwa ajili ya uchaguzi mzuri wa bila kuangalia watu wanasema nini, bali kaangalia yeye anapenda nini” amesema.
“Dogo Janja tangu akiwa mdogo amekuwa anampenda sana Irene Uwoya na hata post zake zimekuwa zikionyesha kuwa anampenda toka zamani that is very nice kwa sababu anakuwa na msichana ambaye anamfikiri” Mc Pilipili ameiambia Bongo5.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK