“Naishi Mjini kwa Kudanga" Gigy Money

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 “Naishi Mjini kwa Kudanga" Gigy Money
MUUZA nyago asiyeishiwa vituko Gigy Money amefunguka kuwa jina lake limekaa kipesapesa ingawa yeye mwenyewe maisha yake kutwa kucha ni kuwatumia wanaume (udangaji) ndiko kunamweka zaidi mjini.

Akipiga stori na Showbiz- Xtra, Gigy amesema, moja ya vitu ambavyo vinavutia watu wengi ni uzuri wa jina lake na ambalo limekaa kipesapesa ingawa yeye maisha yake kwa sasa hayafanani na maana ya jina hilo.

“Jina langu tamu sana, maana yake hata namna linavyo-sound ni jina moja zuri ambalo lipo kipesapesa, ajabu pamoja na uzuri wa jina hilo maisha yangu mimi hayafanani na jina hilo, naishi kwa kudanga na maadili ya hapa na pale,” alisema Gigy Money.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad