AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na Showbiz Xtra, Nandy amesema, kwa muda mrefu mashabiki wake wamekuwa wakifananisha muziki wake na wa Ruby kitu ambacho haoni kama kina mashiko kwa kuwa kila mtu ana ladha yake ya kipekee ambayo mwenzake kakosa.
“Namheshimu Ruby ni mwimbaji mzuri, lakini kunifananisha naye ni kuukosea heshima muziki wangu, ladha ya muziki wangu ni tofauti kabisa na Ruby kama unaujua vizuri muziki utabaini muziki wetu ni tofauti kabisa,” alisema Nandy bila kufafanua kwa undani zaidi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK