AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ngoma hiyo ambayo imetayarishwa na Kenny Ringtone, Nandy amesema amelenga kuzungumzia mwanamke aliye katika mahusiano lakini kuna vitu vimemchosha hivyo anataka kuondoka.
“Nimezungumzia mapenzi kwa upande wa mwanamke kuzungumzia mwanaume japo ni wimbo ambao unaweza kutumika kwa pande zote mbili, nimebeba uhusika wa mwanamke kwa mimi ni mwanamke pia” amesema Nandy.
“Ni maumivu ya mapenzi mwanamke analalamika kwa wanaume wake kuna kitu amemfanyia lakini so far anahitaji amuache kwa sababu anaamini taratibu maamuivu yake yataisha taratibu” ameongeza.
Nandy ambaye bado anafanya vizuri na ngoma ‘Wasikudanganye’, pia hivi karibu alitoa ngoma iliyokwenda kwa jina Mahabuba ambayo amemshirikisha Aslay.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK