AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Madee ameyasema hayo alipokuwa akipiga stori na Queen Fifi na JR kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kwamba amefurahi kuona Dogo Janja kaoa ingawa alishtushwa na taarifa hizo, lakini kikubwa ni kuwaombea ili wasisikilize maneno ya watu.
Madee ameendelea kusema kwamba wawili hawa wote ni watu maarufu hivyo kutakuwa na maneno mengi kutoka kwa watu, na iwapo wakisikiliza basi ndoa yao haitafika mbali.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK