Noah ya Abiria Yagongana Uso kwa Uso na Lori

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Noah ya Abiria Yagongana Uso kwa Uso na Roli
Taarifa ya ajali iliyotokea mchana huu kwenye mkoa wa Kilimanjaro eneo la kikavu kwa Sadala baada ya Gari la maji ya Kilimanjaro ambalo ndio chanzo cha ajali, kulipita gari jingine na kugongana uso kwa uso na Noah ya abiria iliyokua ikitokea Moshi Mjini kwenda Sanja Juu.

Inasemekana ni watu wanne wamepoteza maisha kwenye ajali hiyo lakini millardayo.com na AyoTV zinaendelea kumtafuta Kamanda wa Polisi kuthibitisha hilo, majeruhi wamepelekwa hospitali.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad