Ratiba ya Michuano ya Kombe la Mapinduzi Hii Hapa Yanga Yabebwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ratiba ya Michuano ya Kombe la Mapinduzi Hii Hapa
Ratiba ya michuano ya kombe la Mapinduzi imetolewa ambapo mabingwa watetezi, Azam FC wataanza na Jamhuri katika mchezo utakaofanyika uwanja wa Amaan  Januari 2 mwaka 2018, kuanzia saa 10:15 jioni.

Simba SC ambayo ilicheza fainali na Azam FC mashindano yaliyopita itafungua dimba na URA ya Uganda katika michuano hiyo Januari 2, mwaka 2018 uwanja wa Amaan, Zanzibar mchezo ambao utaanza saa 2:15 usiku.
Mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania bara Yanga, wataanza na JKU ya Zanzibar Januari 1, uwanja wa Amaan, mchezo huo utaanza saa 2:15 usiku.
Ufunguzi rasmi wa Kombe la Mapinduzi 2018 utafanyika Desemba 30, mwaka huu kwa mechi mbili kuchezwa Uwanja wa Amaan, kwanza Zimamoto na Mlandege Saa 10:17 jioni na baadaye JKU na Shaba Saa 2:15 usiku.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad