Kikwete Asikitishwa Kukoza Sherehe za Kuapishwa Kenyatta

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kikwete Asikitishwa Kukoza Sherehe za Kuapishwa Kenyatta
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete amesikitika kutohudhuria kuapishwa kwa Rais mteule wa Kenya na kusema alipata mwaliko kuhudhuria sherehe za kuapishwa Kenyatta lakini ameshindwa kutokana na kuingiliana kwa majukumu.

Leo baadhi ya mitandao ya kijamii nchini Kenya alidai kuwa Rais mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete ni mmoja wa wageni ambao wamehudhuria sherehe za kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta jambo ambalo Jakaya Kikwete amelipinga kwa kusema ameshindwa kwenda Kenya kutokana na majukumu kuingiliana.
Jakaya Kikwete ametumia mtandao wake wa Twitter kufikisha ujumbe wake wa pongezi kwa Kenyatta kuchaguliwa tena kuongoza nchi ya Kenya ambayo ni nchi rafiki na Tanzania kwa miaka mingi sasa.
"Nakupongeza Rais UKenyatta kwa kuchaguliwa tena kuongoza nchi rafiki ya Kenya. Nakushukuru kwa mwaliko wa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwako. Nasikitika sitaweza kuhudhuria kutokana na kuingiliana kwa majukumu. Nakutakia kila la kheri katika awamu yako ijayo" alindika Kikwete

Rais Uhuru Kenyatta alichaguliwa kuwa Rais kwa Kenya katika uchaguzi wa marudio uliofanyika Oktoba 26, 2017
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad