AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Leo baadhi ya mitandao ya kijamii nchini Kenya alidai kuwa Rais mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete ni mmoja wa wageni ambao wamehudhuria sherehe za kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta jambo ambalo Jakaya Kikwete amelipinga kwa kusema ameshindwa kwenda Kenya kutokana na majukumu kuingiliana.
Jakaya Kikwete ametumia mtandao wake wa Twitter kufikisha ujumbe wake wa pongezi kwa Kenyatta kuchaguliwa tena kuongoza nchi ya Kenya ambayo ni nchi rafiki na Tanzania kwa miaka mingi sasa.
"Nakupongeza Rais UKenyatta kwa kuchaguliwa tena kuongoza nchi rafiki ya Kenya. Nakushukuru kwa mwaliko wa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwako. Nasikitika sitaweza kuhudhuria kutokana na kuingiliana kwa majukumu. Nakutakia kila la kheri katika awamu yako ijayo" alindika Kikwete
Rais Uhuru Kenyatta alichaguliwa kuwa Rais kwa Kenya katika uchaguzi wa marudio uliofanyika Oktoba 26, 2017
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK